Mkoa wa Dar es Salaam Biashara na Huduma Kama kitovu cha kibiashara na bandari kuu nchini, Dar es Salaam ina fursa nyingi katika sekta za biashara, usafirishaji, na huduma za kifedha. Viwanda Uwepo wa viwanda vingi hutoa nafasi za ajira na uwekezaji katika uzalishaji wa bidhaa mbalimbali. Mkoa wa Arusha …
Soma zaidi »Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa mstari wa mbele katika kuhimiza ushirikishaji wa jamii katika mapambano dhidi ya njaa nchini Tanzania. Ameweka msisitizo kwenye kuboresha usalama wa chakula kupitia mipango mbalimbali inayolenga kuongeza uzalishaji wa kilimo na kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa wananchi wote
Katika mkutano wa G20 unaotarajiwa kufanyika Rio de Janeiro, Brazil, tarehe 18 hadi 19 Novemba 2024, Rais Samia amealikwa kushiriki kama mgeni mwalikwa. Ushiriki wake katika mkutano huu ni fursa muhimu kwa Tanzania kuwasilisha ajenda zake kuhusu usalama wa chakula na ushirikishaji wa jamii katika mapambano dhidi ya njaa. Kupitia …
Soma zaidi »“KUJENGA ULIMWENGU WA HAKI NA SAYARI ENDELEVU”
#SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #kilimochakisasa
Soma zaidi »Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa mkono wa pole kwa wafiwa wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Marehemu Lawrence Nyasebwa Mafuru katika Viwanja vya Karimjee
Mhe. Dkt. Kikwete alifika hapo akitokea Uwanja wa Ndege moja kwa moja akitokea kuhudhuria vikao vya Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia masuala ya Elimu Duniani (GPE), ambayo yeye ni Mwenyekiti wake, jijini Washington DC, Marekani.
Soma zaidi »Huu Ndio Wakati Wetu Wa Kuonesha Uzalendo Kwa Vitendo Kwa Taifa Letu, Tujitokeze Tukapige Kura!
Tanzania mbele kwa kura yako! Huu ndio wakati wetu wa kuonesha uzalendo kwa vitendo na kuimarisha taifa letu. Kwa pamoja, tukitoa sauti zetu kwa njia ya kura, tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli. Hivyo basi, tusikose kutimiza wajibu huu muhimu wa kitaifa.
Soma zaidi »“Tujitokeze Tupige Kura Kwa Viongozi Wanaotamani Kuona Tanzania Ikisonga Mbele”
Tusikubali kusimama pembeni wakati wa uamuzi muhimu. Kwa pamoja, tukiwa na umoja na uzalendo, tujitokeze kwa wingi siku ya kupiga kura, tuweke sauti yetu kwa viongozi wanaotamani kuona Tanzania ikisonga mbele. Tukumbuke kuwa kila kura ina umuhimu na maana kubwa kwa mustakabali wa nchi yetu.
Soma zaidi »Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa matumizi ya mfumo wa kielektroniki wa Baraza la Mawaziri utasaidia kuboresha utendaji kazi na kuleta ufanisi zaidi katika kuwahudumia wananchi
Amesema kuwa maboresho hayo ya matumizi ya mfumo wa kielektroniki yatasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza matumizi ya karatasi katika vikao vya Serikali, hususan Baraza la Mawaziri, hivyo kupunguza changamoto ikiwemo kuchelewa kwa taarifa, gharama kubwa za uchapaji na hatari ya upotevu wa taarifa muhimu. Amesema hayo leo (Jumatatu, Novemba 11, …
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Dkt. Tewodros Beleke Mkurugenzi wa Programu za Dunia na Mwakilishi wa Susan Buffet Foundation mara baada ya kumaliza mazungumzo
WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA KONGAMANO LA JUMUIYA YA WAISLAMU WA SHIA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 10, 2024 amemuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano Mkuu na Kongamano la Umuhimu wa Amani kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Kongamano hilo linaloratibiwa na Jumuiya ya Waislamu wa SHIA Tanzania, lilofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, jijini …
Soma zaidi »TRENI YA MCHONGOKO YAANZA SAFARI KWA KISHINDO DAR – DOM
Treni ya Umeme ya Kisasa (EMU) ya Reli ya Kisasa (SGR) nchini Tanzania ni sehemu muhimu ya mradi wa kuboresha miundombinu ya usafiri wa reli. Treni hizi zina uwezo wa kubeba abiria wengi kwa wakati mmoja na kusafiri kwa kasi ya hadi kilomita 160 kwa saa, hivyo kupunguza muda wa …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+