MWANAMKE MMILIKI WA KAMPUNI YA WATALII ALIVYOFAIDIKA NA ROYAL TOUR YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU
Msaada wa serikali katika kutangaza Tanzania kama kivutio bora cha utalii umeongeza kasi ya maendeleo kwa wajasiriamali kama mimi. Leo hii nina wateja wa kudumu kutoka Marekani na Ufaransa, jambo ambalo halikuwa rahisi hapo awali, #HakiKwaWote 🇹🇿⚖️ #SamiaLegalAid #TanzaniaYaHaki #mslac #sisinitanzania #katibanasheria #matokeochanya #ccm #nchiyangukwanza #kaziiendelee #hakikwawote #habari
Soma zaidi »“TUMEUMBWA TUSAIDIANE, KWAHIYO TUNAKWENDA KUSAIDIANA” – MHE RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Ni maneno yenye uzito mkubwa kutoka kwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, yakisisitiza mshikamano, upendo, na mshikamano wa Watanzania katika kujenga taifa imara. Katika hotuba hii, Rais Samia anahimiza umuhimu wa kusaidiana kama jamii, kushirikiana katika maendeleo, na kuwa na moyo wa upendo kwa kila mmoja. Serikali ya Awamu …
Soma zaidi »NEMC YASAINI MKATABA NA GAIA CLIMATE KWA AJILI YA UKUSANYAJI TAKA ZA PLASTIKI NCHINI TANZANIA
NEMC SIGNS AGREEMENT WITH TURKISH COMPANY (GAIA CLIMATE) FOR PLASTIC WASTE COLLECTION IN TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto (UNICEF) Bi. Catherine Russell
Katika mazungumzo yao, Rais Dkt. Samia ameishukuru UNICEF kwa mchango wake katika masuala mbalimbali ikiwemo afya, elimu na lishe kwa watoto pamoja na afya ya msingi. Ikulu Chamwino mkoani Dodoma
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA MKUTANO MKUU WA 39 WA ALAT- DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma, leo tarehe 11 Machi, 2025. Usikose! KUsubscribe channel yetu kwa updates #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA MKUTANO MKUU WA 39 WA ALAT- DODOMA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma, leo tarehe 11 Machi, 2025. Usikose! KUsubscribe channel yetu kwa updates #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »MHE. DKT. SAMIA SULUHU: MAFANIKIO MAKUBWA YA UONGOZI WAKE TANZANIA!
HATUA ZA UJENZI WA MRADI WA MAJI WA SAME-MWANGA-KOROGWE ULIOZINDULIWA NA RAIS DKT. SAMIA SULUHU
Mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe ni juhudi kubwa ya kuboresha upatikanaji wa maji safi kwa wakazi wa mikoa ya Kilimanjaro na Tanga. Mradi huu unahusisha ujenzi wa sehemu ya kuchuja maji inayohakikisha uchafu na chembechembe hatarishi zinaondolewa kabla ya kusambazwa kwa matumizi. Pia, kuna sehemu ya kusukuma maji kwa kutumia …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+