Aelezea ujio wa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Qatar aliyefika nchini siku Jumatano tarehe 20 Machi, 2019 na kuondoka Alhamisi tarehe 21 Machi, 2019. Qatar kushirikiana na Tanzania katika uwekezaji kwenye uchimbaji na uvunaji wa gesi pamoja na uwekezaji katika uwekezaji wa hoteli …
Soma zaidi »SIKU YA WAPENDANAO YA KIPEKEE TANZANIA
Imefanyika usiku wa siku ya wapendanao (valentine’s day) Iliandaliwa jijini Mbeya Ilihusisha viongozi mbali mbali, wakazi wa mkoa wa Mbeya, mikoa jirani sambamba na wapendanao walioongozwa na Mhe. Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Dkt. Tulia Akson Waliafikiana kuisaidia ujenzi wa nyumba, malazi, kuwaonyesha …
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AZINDUA MRADI WA MAJI IKUNGI AMBAO UTAWANUFAISHA WANANCHI 2,628
LIVE KUTOKA SERENA HOTEL:NGUVU YA WENGI INAVYOCHANGIA KUKUZA UCHUMI NA KULETA MAENDELEO
Wachangiaji wenye uzoefu mbalimbali nchini wanazungumza. Ni majadiliano katika mjadala unaoitwa THE BIG BREAKFAST unaoongzwa na kipindi cha Power Breakfast cha Clouds Tv . Bofya link hii kufuatilia
Soma zaidi »LIVE : UJIO WA AIRBUS A220-300 NGORONGORO.
LIVE: WAZIRI KANGI LUGOLA AKIMWAKILISHA RAIS MAGUFULI KUONGEA NA VIONGOZI WA DINI MBALI MBALI NA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YA MKOA WA DAR ES SALAAM.
LIVE IKULU: RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WA SHIRIKISHOLA VYAMA VYA WAFANYAKAZI NA VYAMA SHIRIKI
“SERIKALI YETU INATUJALI NA KUTUPENDA SANA” – DIAMOND PLATNUMZ
Afanya mahojiano na waandishi wa habari jijini Nairobi. Azungumzia tatizo lililotokea katika onesho la Mwanza na kukiri kuwa yeye na wasanii wenzake walikosea na serikali imewasikiliza na kuwasamehe. Aeleza taratibu walizoelekezwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kumaliza kosa walilofanya na namna wanavyolitekeleza. Sasa Wasafi Festival 2018 kuendelea …
Soma zaidi »LIVE: HAFLA YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI KATIKA MRADI WA UJENZI WA DARAJA JIPYA LA SALENDER KUTOKA ENEO LA AGAKHAN HADI COCO BEACH
Bofya link hii kutazama https://youtu.be/-PgICwE4JWo Pia unaweza kubofya link hii; Fuatilia pia kupitia Radio ChanyA+ linkππ http://myradiostream.com/mobile/MatokeochanyAtz 24|07 #MATAGA
Soma zaidi »video:DC KATAMBI; Kila Familia mjini Dodoma ni lazima ipande miti mitatu.
β’ Zoezi linaanza baada ya tango la Mhe. Dc Katambi β’ Kila familia itakayopanda miti hiyo itawajibika kuiyunza wakati wote β’ Ukaguzi wa mara kwa mara kufanyika kukagua miti iliyopandwa nyumba kwa nyumba. Fuatilia agizo la Mhe. Katambi kwa kubofya link hii ππ½ https://youtu.be/YWZK6g-Ro9Y
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+