@SuluhuSamia#kazinaututunasongambele#SisiniTanzania#Nchiyangukwanza
Soma zaidi »USIPOTEZE HAKI YAKO, WAHI KAHAKIKI TAARIFA ZAKO, RAIS DKT. SAMIA
“Ndugu zangu nami nimeona nijiunge nanyi hapa kituoni kwetu. Kama mnavyojua mimi ni mkazi wa Chamwino na nimepiga kura nyingi huko nyuma. Lakini kwa mwaka huu ni lazima nipige hapa Chamwino. Kwa hiyo ndiyo maana nimekuja kurekebisha taarifa zangu. Si mpiga kura mpya lakini nimekuja kurekebisha taarifa zangu. Huko nyuma …
Soma zaidi »“KILA MTANZANIA AJITOKEZE ATUMIE FURSA YA KUJIANDIKISHA” – MHE. DKT. SAMIA
“Kama nilivyosema, la kwanza kutokujitokeza kuandikisha ni kukataa mwenyewe haki yako ya kikatiba. Na unapokataa haki ya kikatiba suala unajiuiza je, wewe ni mzalendo?, ni mzalendo wa aina gani ambae katiba imekupa fursa hii, nenda kaandikishe, piga kura, weka kiongozi anayehisi atakuja kukuhudumia wewe unaikataa. Ukiikataa wenzio watakwenda kuweka wanayemtaka …
Soma zaidi »Sheria inasemaje kuhusu mirungi?
#NiulizeNikujibu_DCEA #DCEA_Mpya #DCEA
Soma zaidi »Ni nini kinachosababisha mtu kutumia dawa za kulevya?
#NiulizeNikujibu_DCEA #DCEA_Mpya #DCEA
Soma zaidi »Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewahimiza Waandishi Waendesha Ofisi kujiweka tayari ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia kwa kuendelea kujifunza na kuwa wabunifu zaidi kwa kuwa ustadi katika TEHAMA unakuwa ni sifa muhimu katika majukumu yao
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe Dkt. Doto Biteko Mei 15, 2025 ametembelea Bunge la Morocco ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi nchini humo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Finland Mhe. Alexander Stubb, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Mei, 2025
Kampuni ya Tembo Nickel Ltd imethibitisha ratiba ya kuanza rasmi ujenzi wa Mgodi wa Kabanga Nickel uliopo wilayani Ngara,Kagera
Hayo yamesemwa leo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Lifezone Metals inayomiliki kampuni ya Tembo Nickel Corporation Limited
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+