DAWA ZA KULEVYA

Suluhu ya Kukabiliana na Kilimo cha Mirungi yapatikana Wilayani Same ikiongozwa na Mamlaka (DCEA)

DCEA yataja njia sahihi za kukabiliana na adhari zitokanazo na dawa za kulevya_ PCCB na Sekretariati ya MAADILI ya viongozi wa umma yasisitiza uwajibikaji kwa Watendaji na viongozi ngazi ya Wilaya hadi Vitongoji wa umma Halmashauri Same yaainisha mazao mbadala katika kukabiliana na kilimo cha Mirungi Mamlaka ya Kudhibiti na …

Soma zaidi »