
Leo, 8/08/2024 tunasherehekea kilele cha Maonesho ya NaneNane katika viwanja vya Nzuguni, Dodoma, ambapo Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ndiye mgeni rasmi. Siku hii muhimu inatupa fursa ya kutambua na kusherehekea mchango wa wakulima na wafugaji katika maendeleo ya taifa letu.

#KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+