NEMC yashiriki Mkutano wa Saba wa Baraza la Umoja wa Mataifa kuhusu Mazingira (UNEA-7) jijini Nairobi, Kenya kuanzia Desemba 08–12, 2025. Mada zinazojadiliwa ni Mazingira asilia na mabadiliko ya tabianchi, uchumi mzunguko, kemikali, taka na uchafuzi, utawala, sheria na bajeti.
MatokeoChanya
2 weeks mda uliopita
CCM, Matokeo ChanyA+, NEMC, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, Tanzania, Tanzania MpyA+
183 Imeonekana