Maktaba ya Kila Siku: December 5, 2025
NEMC kupitia timu yake ya wanamichezo wanaoshiriki mashindano ya SHIMMUTA 2025 wametembelea Kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu cha Erick Memorial mkoani Morogoro Disemba 4, 2025.
NEMC kwa kushirikiana na Taasisi ya Centre of Science and Environment (CSE) ya India imefanya mafunzo juu ya mbinu za kutengeneza Orodha ya Taka za Viwandani, lengo ni kutengeneza orodha ya viwanda vyote nchini na taka zinazozalishwa viwandani ili kuboresha usimamizi wa taka.
π΄ LIVE: SHEREHE YA 73 YA KUWAKUBALI NA KUWAPOKEA MAWAKILI WAPYA
HUYO MTU ANAITWAJE …. ?
#SisiniTanzania #nchiyangukwanza #TanzaniaNiwajibuwetu #Nchiyetufahariyetu #tanzania #SSH #kazinaututunasongambele #matokeochanya #katibanasheria #mslac @samia_suluhu_hassan βͺ@mawasilianoikulu8747β¬
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+