Maktaba ya Mwezi: August 2024
Uzinduzi wa Bwawa la Umwagiliaji Mtibwa, Rais Samia Aimarisha Sekta ya Kilimo na Uzalishaji wa Sukari Nchini
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Bwawa la umwagiliaji lenye mita za ujazo milioni 25 na Awamu ya tatu ya upanuzi wa mashamba na umwagiliaji katika Kiwanda cha Sukari Mtibwa, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi katika Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, tarehe 03 Agosti, 2024. Uzinduzi …
Soma zaidi »NEMC YAENDELEA KUTOA ELIMU VIWANJA VYA NANENANE NZUGUNI DODOMA
DKT. HENRY MPUMPI AELEZEA FAIDA ZA HOSPITALI MPYA YA WILAYA YA GAIRO BAADA YA UZINDUZI NA RAIS SAMIA
Mganga Mfawidhi Wa Hospitali Ya Wilaya Ya Gairo Dkt. Henry Alex Mpumpi Akielezea Faida Zitakazopatikana Kufuatia Uzinduzi Wa Hospitali Ya Wilaya Hiyo Uliofanywa Na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Tarehe 02/08/2024
Soma zaidi »RAIS SAMIA AZINDUA DARAJA LA BEREGA KILOSA, WANANCHI WAPONGEZA JUHUDI ZA MIUNDOMBINU NA UCHUMI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 02 Agosti 2024, amezindua rasmi Daraja la Berega, Wilayani Kilosa, mkoani Morogoro. Daraja hili, lenye urefu wa mita 150 na upana wa mita 10, limejengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 12 na linatarajiwa kurahisisha usafiri na …
Soma zaidi »WANANCHI WILAYANI KILOSA WAISHUKURU SERIKALI KWA UJENZI WA DARAJA LA BEREGA
Wananchi wa Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, wameonyesha shukrani zao kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuzindua Daraja la Berega. Uzinduzi huo ulifanyika tarehe 02 Agosti, 2024, katika ziara ya kikazi ya Rais Samia mkoani Morogoro. Daraja hili muhimu limekuwa ni …
Soma zaidi »Ujenzi wa SGR Ni Hatua Muhimu Kuelekea Tanzania ya Viwanda na Uchumi Imara
“Nawaomba wananchi wa Morogoro na Watanzania kwa ujumla kutambua kwamba maendeleo haya ni sehemu ya mkakati wetu wa kujenga Tanzania ya viwanda na yenye uchumi imara.” @SuluhuSamia
Soma zaidi »Shukrani za Madeleva Bajaji kwa Rais Samia na Serikali kwa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR
Morogoro, Tanzania – Madeleva bajaji wa mkoani Morogoro wameeleza shukrani zao za dhati kwa Rais Samia Suluhu Hassan na serikali kwa ujumla kwa juhudi kubwa za ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR. Reli hii, ambayo imekuwa mojawapo ya miradi mikubwa ya maendeleo nchini, imeleta manufaa mengi kwa wananchi na …
Soma zaidi »Mtalii Raia wa Sweden Avutiwa na Ubora wa Treni ya Kisasa ya SGR Nchini Tanzania
“Ni treni ya kisasa kabisa na tunajisikia vizuri (‘comfortable’) kutumia aina hii ya usafiri. Ina mwendo wa kasi iko ‘comfortable’ na ina huduma nzuri wakati wa safari. Kitu kizuri na cha kufurahisha zaidi, ni treni nzuri zaidi kuzidi hata zile za kwetu nyumbani Ulaya ( Sweden) treni hii ni nzuri …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+