Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua kiwanda kipya cha sukari kilichopo Mkulazi-Mbigiri

Kiwanda hiki kinatarajiwa kuongeza uzalishaji wa sukari nchini, kupunguza utegemezi wa sukari ya nje, na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa Tanzania. Uzinduzi wa kiwanda hiki pia utatoa ajira kwa wananchi wa eneo hilo na kuongeza mapato ya taifa kupitia uzalishaji wa ndani. Tukio hili linaonyesha juhudi za serikali za kuimarisha sekta ya viwanda na kilimo kwa maendeleo ya nchi. #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *