KWA MARA YA KWANZA TRENI YA KISASA (SGR) KUANZA RASMI SAFARI ZAKE

Ikiwa ni mara ya kwanza treni ya kisasa (SGR) kuanza rasmi safari zake leo, Rais Samia Suluhu amewalipia tiketi abiria waliosafiri kwa mara ya kwanza kutoka Dar es Salaam – Morogoro na Morogoro – Dar es Salaam.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *