Ikiwa ni mara ya kwanza treni ya kisasa (SGR) kuanza rasmi safari zake leo, Rais Samia Suluhu amewalipia tiketi abiria waliosafiri kwa mara ya kwanza kutoka Dar es Salaam – Morogoro na Morogoro – Dar es Salaam.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+