UZINDUZI WA TUME YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI ZA KIMTANDAO – MATUKIO KATIKA PICHA. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofautitofauti wakati wa Uzinduzi wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) Hafla iliyofanyika Ukumbi wa Mikutano wa JNICC Posta Dar es salaam leo April 03,2024.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *