MRADI WA KONGANI YA KISASA YA VIWANDA (MODERN INDUSTRIAL PARK) KATIKA ENEO LA MLANDIZI.

Mwekezaji KAMAKA COMPANY LIMITED wa Tanzania, anawekeza kwenye mradi wa KONGANI YA KISASA YA VIWANDA (MODERN INDUSTRIAL PARK) inayoendelea kujengwa katika eneo la Mlandizi, Wilaya ya Kibaha, Mkoani wa Pwani. Mradi una kubwa wa ekari 1077 na ni eneo la kimkakati!

#Matokeochanya+

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *