Waziri wa habari, mawasiliano,na teknolojia ya habari Mhe Nape Nnauye (Mb), akishuhudia Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, pamoja na Afisa Mtendaji wa Benki ya NMB Tanzania, Bi. Ruth Zaipuna, wakitia saini makubaliano ya ushirikiano kati ya Wizara na Benki hiyo.

@wizarahmth

@Nnauye_Nape

Image

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *