Ununuzi wa Ambulance na Magari ya Chanjo:Kununua ambulance 395 na magari ya chanjo 214 ni hatua muhimu katika kuboresha huduma za dharura na afya ya umma. #HayaNiMatokeoChanya+ #KatibaNiMaridhiano #UchaguziNiMashindano #RaisSamiaChapaKazi+ #KaziInaendelea
MatokeoChanya
January 26, 2024
Matokeo ChanyA+, Tanzania, Tanzania MpyA+, WIZARA YA AFYA
634 Imeonekana