Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la JMT Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Spika wa Bunge la Malawi Mhe. Madalitso Kazombo katika Ofisi ndogo za Bunge la Tanzania Jijini Dar es Salaam leo
MatokeoChanya
January 25, 2024
Matokeo ChanyA+, Tanzania, Tanzania MpyA+
537 Imeonekana