Heri ya Sikukuu ya Mapinduzi! Tuungane pamoja kusherehekea siku hii muhimu na kujenga umoja wetu.

Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea mnamo tarehe 12 Januari 1964, na yalikuwa harakati za kijamii na kisiasa zilizosababisha kubadilika kwa mfumo wa utawala.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *