Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Rwanda Paul Kagame mjini Kigali aliko mwakilisha Rais Dkt . John Pombe Magufuli katika sherehe za miaka 25 ya Ukombozi wa Nchi hiyo .Julai 4/2019 anayeshudia ni Rais wa Sierra leon Mh Mada Bio

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI NCHINI RWANDA

PM 1-01
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Rwanda Paul Kagame mjini Kigali aliko mwakilisha Rais Dkt . John Pombe Magufuli katika sherehe za miaka 25 ya Ukombozi wa Nchi hiyo .Julai 4/2019 anayeshudia ni Rais wa Sierra leon Mh Mada Bio Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa amejumuika na Viongozi wenzake katika Maadhimisho ya miaka 25 ya Ukombozi wa Rwanda
PM 2-01
Askari wa JWTZ wakiwa katika sherehe ya miaka 25 ya Ukombozi wa Rwanda

Unaweza kuangalia pia

RAIS MAGUFULI ATEMBELEA DAR ES SALAAM ZOO, AVUTIWA NA WANYAMA WENGI WANAOFUGWA HUMO

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *