TAKUKURU; HANSPOPE WA SIMBA, ANAYEFAHAMU ALIPO ATUPE TAARIFA HARAKA

  • Waahidi donge nono kwa yeyote atakayetoa taarifa za alipo Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba Zacharia Hanspope
  • Pia, taarifa zinahitajika kwa yeyote anayefahamu alipo Franklin Lauo aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu hiyo ambaye alitumia rushwa na kupata tenda ya ujenzi wa Kiwanja cha Mpira wa Miguu cha klabu hiyo huku akijua hana vigezo (hajasajiliwa katika bodi ya Wakandarasi nchini.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *