Na. Aron Msigwa – WMU. Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla amesema kuwa Tanzania imejipanga na iko tayari kupokea watalii kutoka katika mataifa mbalimbali ikiwemo nchi ya Sweden na Israel ambazo raia wake wamekua wakitembelea vivutio mbalimbali vya utalii vya Tanzania. Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo leo jijini Dar …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
June, 2020
-
24 June
MCHIMBAJI ALIYEPATA MADINI YA TANZANITE YENYE THAMANI YA SH. BILIONI 7.8 AMPONGEZWA NA RAIS MAGUFULI
Mchimbaji Bw. Saniniu Laizer (kushoto) akiwa amebeba madini ya Tanzanite amabyo yana jumla ya kilo 15 ambapo jiwe moja lina kilo 9. 2 la thamani ya bilioni 4.5 na lingine kilo 5.8 lenye thamani ya shilingi ya bilioni 3.3 wakati wa tukio la kuuza madini hayo kwa Serikali Naibu Waziri …
Soma zaidi » -
23 June
KAZI YA UJENZI WA MELI MPYA YA MV. MWANZA “HAPA KAZI TU” WAENDELEA KWA KASI
Mafundi wakiendelea na kazi ya Ujenzi wa Meli mpya ya MV. Mwanza “Hapa Kazi Tu” yaendelea kwa kasi Kazi ya Ujenzi wa Meli mpya ya MV. Mwanza “Hapa Kazi Tu” yaendelea kwa kasi Kazi ya Ujenzi wa Meli mpya ya MV. Mwanza “Hapa Kazi Tu” yaendelea kwa kasi
Soma zaidi » -
23 June
MSD YAFANYA ZOEZI LA KUHESABU MALI, DAWA NA VIFAA TIBA ILI KUFUNGA MWAKA
zoezi la kuhesabu mali (Dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara likiendelea kwenye maghala ya MSD Makao Makuu Mtumishi wa Kanda ya Mwanza akiendelea na zoezi la kuhesabu dawa na vifaa tiba, ambapo Meneja wa Kanda hiyo Bi. Rehema Shelukindo amewahakikishia wateja wa vituo vya kutolea huduma za Afya Bohari …
Soma zaidi » -
22 June
WATANZANIA WAMEANZA KUNUFAIKA NA MRADI WA JNHPP HATA KABLA HAUJAKAMILIKA – KATIBU MKUU NISHATI
Veronica Simba – Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said amesema kuwa mradi mkubwa wa kufua umeme wa maji wa Julius Nyerere (JNHPP) umeanza kuwanufaisha Watanzania hata kabla ya kukamilika. Ameyasema hayo kwa njia ya simu, leo Juni 22, 2020 alipofanya mahojiano na mwandishi wa habari hii …
Soma zaidi » -
22 June
NENDENI MKAZINGATIE VIAPO VYENU – RAIS MAGUFULI
Rais Dkt. John Magufuli amewataka viongozi waliapishwa kuzingatia viapo vyao katika kufanya kazi zao, Rais amesema hayo wakati akimwapisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Idd Kimanta aliyemteua hivi karibuni, Ikulu jijini Dar Es Salaam. Rais amesema kuwa anasikitishwa kuona watu aliowateua, kuwaapisha na kuwaamini kwa niaba ya watanzania hawafanyi …
Soma zaidi » -
22 June
BODI YA TANESCO IMEFANYA KAZI NZURI – WAZIRI KALEMANI
Veronica Simba – Dodoma Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ameipongeza Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), akisema imefanya kazi nzuri katika kushughulikia changamoto mbalimbali za umeme nchini. Alibainisha hayo Juni 17, 2020 alipokutana na kuzungumza na Bodi hiyo jijini Dodoma, akiwa ameambatana na Naibu wake, Subira …
Soma zaidi » -
22 June
NAIBU WAZIRI UJENZI AAGIZA KIPANDE CHA BARABARA NJOMBE -MORONGA KIKAMILISHWE IFIKAPO MWEZI OCTOBA MWAKA HUU
Na Amiri kilagalila,Njombe Naibu waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Elias kwandikwa amemuagiza mkandarasi anayejenga barabara ya Njombe kuelekea wilayani Makete kipande cha Njombe-Moronga kuhakikisha anakamilisha ujenzi wa kipande hicho na kuhakikisha imekamilika ifikapo mwezi Oktoba mwaka huu. Agizo hilo amelitoa wakati akikagua ujenzi wa barabara hiyo katika ziara …
Soma zaidi » -
22 June
DKT. CHAULA AKAGUA UJENZI WA JENGO LA UMOJA WA POSTA WA AFRIKA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano) Dkt. Zainabu Chaula (wa kwanza kushoto) akipata maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi wa ofisi ya PAPU, Arusha kutoka kwa msimamizi wa ujenzi, Mhandisi Hanington Kagiraki (wa kwanza kulia) ni Naibu Katibu Mkuu wa Sekta hiyo, Dkt. Jim Yonazi. …
Soma zaidi » -
19 June
WAZIRI WA AFYA AZINDUA TIBA MTANDAO MOI, ATAKA IUNGANISHWE BURUNDI, RWANDA, COMORO
WAMJW-Dar es Salaam Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amezindua kituo cha Tiba Mtandao cha Taifa kilichopo Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI) ambacho kitawahudumia wagonjwa wa hospitali za halmashauri, wilaya, rufaa na hospitali nyingine nchini.Kabla ya kuzindua kituo hicho, Waziri wa Afya, Ummy …
Soma zaidi » -
19 June
SERIKALI KUONGEZA IDADI YA NDEGE KUBEBA MINOFU YA SAMAKI
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba, wakati wa mkutano wa pili wa kujadili namna ya kurahisisha usafirishaji wa minofu ya samaki kutokea Kiwanja cha Ndege cha Mwanza uliofanyika jijini Dodoma. Serikali imewaahidi wafanyabiashara wa minofu ya samaki kuongeza idadi …
Soma zaidi » -
19 June
NAIBU WAZIRI MABULA AZITAKA OFISI ZA HALMASHAURI NA WILAYA NCHINI KUZITUMIA OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA
Na Munir Shemweta, WANMM KILIMANJARO Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa kuweza kukamilisha ujenzi wa miradi ya jengo la ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Hai lililopo Bomang’ombe na ofisi pamoja na nyumba za Watumishi wa …
Soma zaidi » -
18 June
HUDUMA YA KUVUNJA MAWE KWENYE FIGO KWA TEKNOLOJIA YA KISASA YAANZA MLOGANZILA
Hospitali ya Taifa Muhimbili -Mloganzila imeanza rasmi huduma ya kuvunja mawe kwenye figo na mfumo wa mkojo kwa kutumia njia ya mawimbi mshituko kwa kitaalamu extracorporeal shock wave lithotripsy (ESWL) . Kuanzishwa kwa matibabu haya ni mwendelezo wa kutekeleza juhudi za Serikali kuboresha huduma bobezi za kibingwa nchini ili kuongeza …
Soma zaidi » -
18 June
BASHUNGWA AMEWAHAKIKISHIA WATANZANIA KUWA “SERIKALI ITAHAKIKISHA WANANCHI WANANUFAIKA KWA KUSHUKA BEI YA MAFUTA”
Na Eliud Rwechungura – Wizara ya Viwanda na Biashara. Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa amezielekeza FCC, EWURA, WMA kufanya ukaguzi na kuwachukulia hatua wafanyabiashara na waagizaji wa mafuta wanaoficha bidhaa hiyo kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu yatakapoadimika au kupanda bei. Waziri Bashungwa aliyasema Juni …
Soma zaidi » -
18 June
NHC YAPUNGUZA GHARAMA ZA MAUZO YA VIWANJA VYAKE MRADI WA SAFARI CITY ARUSHA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na watumishi wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na Watendaji wa sekta ya ardhi mkoa wa Arusha (hawapo pichani) wakati wa ziara ya kukagua miradi inayoendeshwa na NHC kwenye mkoa wa Arusha jana. Wa pili kulia …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+