Recent Posts

SERIKALI KUINUA ZAO LA KAHAWA NCHINI

Serikali imeamua kuanzisha minada ya kahawa kwenye maeneo ya uzalishaji kuanzia msimu wa 2019/2020 ili kuinua zao hilo la kimkakati nchini. Hayo yamesemwa Bungeni Dodoma na Naibu Waziri wa Kilimo,  Omary Mgumba wakati akijibu swali Mhe. Bernadeta Mushashu kuhusu mpango wa Serikali wa kuinua zao la kahawa Mkoani Kagera ikiwemo kupandisha …

Soma zaidi »

WANANCHI WA MKOA WA PWANI WAPONGEZA UBORESHAJI HUDUMA ZA AFYA

Waganga, Wakunga na Wananchi wa Mkoa wa Pwani wameipongeza Serikali ya Awamu ya Tano kwa hatua inazozichukua kuboresha huduma za Afya kwa kutoa fedha kwa ajili ya upanuzi wa vituo vya afya na ujenzi wa hospitali za Wilaya mkoani humo. Pongezi hizo zimetolewa na wadau hao wa afya mapema wiki hii, …

Soma zaidi »