Recent Posts

MSIMU HUU KWENYE ZAO LA KOROSHO UMEENDA VIZURI SANA – NAPE

Mbunge wa jimbo la Mtama Mkoani Lindi, Nape Nnauye amesema kuwa msimu huu kwenye zao la korosho umeenda vizuri baada ya Serikali kuviachia vyama vya Ushirika kususimamia. Amesema hayo Bungeni mjini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Kilimo, amesema kuwa namna bora ya kuimarisha Vyama vya Ushirika ni kuvisimamia …

Soma zaidi »

TANESCO KUTUMIA BIL.1.2 KUBORESHA UMEME KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA

Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amesema kuwa serikali imetenga shilingi za kitanzania Bilioni 1.2 kwa ajili ya ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme utakaokuwa ukitumiwa na kiwanda cha sukari peke yake, katika kuendesha shughuli za uzalishaji.  Amesema hayao alipotembelea kiwanda cha Sukari Mtibwa, ambapo amesema kuwa njia hiyo ya …

Soma zaidi »

UMEME WA SGR KUKAMILIKA MWISHONI MWA MEI, 2020

Mafundi wakiendelea na kazi ya ujenzi wa nguzo kubwa za kusafirisha umeme utakaotumika katika reli ya kisasa(SGR) kuendesha treni ya umeme, Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani alifanya ziara ya kukagua njia ya kusafirisha umeme Mei 11, 2020 mkoani Morogoro. Mafundi wakiendelea na kazi ya ujenzi wa nguzo kubwa za …

Soma zaidi »

WAZIRI UMMY: TUTANDELEA KUTOA AJIRA KWA WAUGUZI NCHINI

Serikali imesema itaendelea kutoa kipaumbele katika ajira za wauguzi kadri nafasi zitakavyokuwa zikipatikana ili kuboresha huduma za afya nchini. Kauli hiyo imetolewa leo  na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizungumza na watumishi wa hospitali ya rufaa ya mkoa ya Mwananyamala katika Maadhimisho …

Soma zaidi »

ATCL YAANDAA SAFARI MAALUM KWA WAFANYABIASHARA

Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), limeandaa safari kwa wafanyabiashara wazawa itakayofanyika Machi 4, 2020 kwenda Mumbai India kwaajili ya kukuza biashara baina ya nchi Tanzania na nchi hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Mahusiano wa ATCL, Josephat Kagwirwa alisema kuwa …

Soma zaidi »

WIZARA YA AFYA YAKABIDHIWA HOSPITALI YA MKOA YA MAWENI

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imekabidhiwa rasmi hospitali ya rufaa ya mkoa maweni iliyopo mkoani Kigoma. Akikabidhiwa hospitali hiyo Katibu Mkuu wa wizara hiyo Dkt. Zainab Chaula amesema kuwa anashukuru sekretarieti ya mkoa kwa kuisimamia hospitali hiyo pamoja na watumishi katika kipindi hicho na hivyo …

Soma zaidi »

RAIS DKT. SHEIN AWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein  amewaapisha viongozi mbali mbali kushika nyadhifa baada ya kuwateuwa hivi karibuni. Katika hafla hiyo iliyofanyika Ikulu mjini Unguja na kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali wa Serikali, Dk. Shein amemuapisha Khatib Mwadini Khatibu kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara …

Soma zaidi »