NEMC na ZEMA zafikia makubaliano katika Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira nchini.
Makubaliano hayo yamefikiwa katika kikao kilichofanyika Oktoba 7 hadi 8, 2025 ambapo wajumbe wa Bodi na wataalamu kutoka taasisi hizo walikutana kubadilishana uzoefu kuhusu utekelezaji wa majukumu yao.
Soma zaidi »NEMC imepokea ugeni wa Menejimenti ya Mamlaka ya Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Zanzibar (ZEMA) leo Oktoba 7, 2025
NEMC imefanya kikao Cha kujengeana uwezo ikiwa ni mwendelezo wa juhudi za kuimarisha ushirikiano katika kusimamia na kuhifadhi mazingira.
Soma zaidi »TUFANYE KAZI MOJA YA KUIJENGA NCHI YETU – RAIS WA ZANZIBAR MHE DK. HUSSEIN ALI MWINYI
“Tufanye Kazi Moja ya Kuijenga Nchi Yetu” โ Kauli ya Rais wa Zanzibar Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi inatukumbusha wajibu wa kila Mtanzania kushirikiana kwa mshikamano, mshikikano na uzalendo katika kuleta maendeleo ya taifa letu. ๐น๐ฟ Katika hotuba hii yenye msisitizo, Rais Mwinyi anahamasisha mshikamanio kati ya wananchi na viongozi, …
Soma zaidi »Rais Dkt. Samia Suluhu aongoza Watanzania kwenye maziko ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya yaliyofanyika nyumbani kwake kijijini Chomvu, Usangi Wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro tarehe13 Mei, 2025
HERI YA KUMBUKUMBU YA SIKU YA MUUNGANO WATANZANIA
๐ด#LIVE: MHE. RAIS DKT SAMIA AKIHUTUBIA TAIFA KUELEKEA MIAKA 61 YA MUUNGANO
Usikose! KUsubscribe channel yetu kwa updates #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+