WIZARA YA AFYA

FAINALI WIKI YA MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA – WAGOLOKO FC YAICHAPA MWAISE FC 2-0

Katika fainali ya mpira wa miguu iliyofanyika kwenye Viwanja vya Chuo Kikuu cha Mtakatifu John, timu ya Wagoloko FC iliibuka kidedea kwa kuifunga Mwaise FC mabao 2–0, mbele ya mamia ya mashabiki waliokuwa wakishangilia kwa hamasa kubwa. Kamishna Lyimo amesema tukio hilo limekuwa zaidi ya mchezo limekuwa darasa la mshikamano, nidhamu …

Soma zaidi »