Tanzania

MSLAC YAGUSA NGUZO ZA JAMII SONGEA-ELIMU YA KISHERIA KWA VIONGOZI NA VIJANA 1200

LIVE kutoka Songea, Ruvuma, ambako Kampeni ya Mama Samia Legal Aid Campaign (MSLAC) inaendelea kutoa elimu ya kisheria kwa viongozi wa serikali za mitaa, wajumbe wa mashina, vijana, na wananchi wa kawaida. Katika tukio hili la kihistoria, wananchi wanapata maarifa kuhusu: Haki za kiraia na kijamii Mbinu mbadala za utatuzi …

Soma zaidi »

SONGEA YALIPUKA KWA MAENDELEO – MIRADI MIKUBWA YAANIKA MATOKEO, WANANCHI WAANZA KUVUNA MAFANIKIO

Katika video hii, tunakupeleka moja kwa moja mkoani Ruvuma, wilaya ya Songea – ambako miradi mikubwa ya maendeleo chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, ikisimamiwa kwa karibu na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, imeleta mageuzi ya kweli katika …

Soma zaidi »