Benki ya Dunia imeahidi kuipatia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu na msaada wenye thamani ya dola za Marekani bilioni 1.7 sawa na takriban shilingi trilioni 4 kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020. Ahadi hiyo imetolewa mjini Washington …
Soma zaidi »RAIS MAGUFULI ATEKELEZA NDOTO YA BABA WA TAIFA KWA KUZINDUA MJI WA SERIKALI
RAIS DKT. MAGUFULI AMEFUNGUA MAJENGO YA IKULU CHAMWINO
LIVE:HAFLA YA UZINDUZI WA MJI MPYA WA SERIKALI IHUMWA,DODOMA
LIVE CATCH UP: HAFLA YA UFUNGUZI WA MAJENGO MAPYA YA IKULU CHAMWINO
LIVE: HALFA YA KUWAPONGEZA ASKARI WA JESHI LA POLISI KANDA MAALUM DSM 2019
LIVE : FUATILIA MOJA KWA MOJA DROO YA UPANGAJI MAKUNDI YA TIMU ZILIZOFUZU KUCHEZA FAINALI YA AFCON 2019 TANZANIA IKIWA MOJAWAPO
Follow LIVE the #TotalAFCON2019 group stage draw! #FootballTogether https://t.co/UKAY6BTPy4 — Football Together (@Football2Gether) April 12, 2019
Soma zaidi »SERIKALI IMEJIPANGA KUHAKIKISHA MIFUKO MBADALA YA PLASTIKI INAPATIKANA KWA WINGI ILI KUKIDHI MAHITAJI
Serikali imefafanua tamko lake la kupiga marufuku uzalishaji, usambazaji na matumizi ya mifuko ya plastiki hapa nchini. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika Jijini Dodoma na kusisitiza kuwa katazo la Mifuko ya …
Soma zaidi »WAZIRI KAIRUKI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA KENYA NCHINI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Kenya nchini Tanzania Mhe. Dan Kazungu mapema katika ofisi zake Jijini Dodoma. Lengo la mazungumzo hayo ilikuwa kujadili masuala mbalimbali ikiwemo namna ambavyo Kenya inavyoweza kushirikiana na Tanzania katika masuala ya uwekezaji ambapo …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+