WAZIRI MWAKYEMBE AFUNGA MKUTANO WA MAKATIBU WAKUU WA NCHI WANANCHAMA WA SADC
RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA KIWANDA CHA PIPE INDUSTRIES ENEO LA VINGUNGUTI JIJINI DAR ES SALAAM
RAIS DKT. MAGUFULI AZINDUA RADA MBILI ZA KUONGOZEA NDEGE ZA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE NA UWANJA WA NDEGE WA KIA
LIVE: RAIS MAGUFULI KATIKA UZINDUZI WA KIWANDA CHA KUTENGENEZA MABOMBA YA PLASTIKI
MRADI WA MATUMIZI YA GESI MAJUMBANI MKOANI MTWARA KUOKOA MAZINGIRA
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amesema kuwa, mradi wa matumizi ya gesi majumbani ambao utazinduliwa hivi karibuni katika mkoa wa Mtwara utasaidia kuepuka matumizi ya mkaa ambao licha ya kuharibu mazingira, husabisha maradhi mbali mbali. Alisema hayo, Septemba 14, 2019 kwa nyakati tofauti wilayani Kibiti, Mkoa wa Pwani, alipokuwa …
Soma zaidi »WAZIRI KAMWELWE AKAGUA MELI YA GHOROFA NANE YENYE UWEZO WA KUBEBA MAGARI 1347
SERIKALI KUJENGA MTO MSIMBAZI
Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na Shirika la Maendeleo la Uingereza (DFID) inatekeleza mradi wa Tanzania Urban Resilience Programme (TURP) ambao umelenga kuzisaidia Halmashauri na Serikali Kuu katika kukabiliana na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi. …
Soma zaidi »WAZIRI LUGOLA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA MAKAO MAKUU YA UHAMIAJI JIJINI DODOMA
BENKI YA DUNIA YARIDHIA MKOPO WENYE MASHARTI NAFUU WA DOLA MILIONI 450
Bodi ya Benki ya Dunia imeidhinisha mkopo wenye masharti nafuu wa dola za Marekani milioni 450, sawa na shilingi za Tanzania trilioni 1 kwa ajili ya Mradi wa kusaidia Kaya Masikini nchini Tanzania kupitia TASAF.
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+