• Zoezi linaanza baada ya tango la Mhe. Dc Katambi • Kila familia itakayopanda miti hiyo itawajibika kuiyunza wakati wote • Ukaguzi wa mara kwa mara kufanyika kukagua miti iliyopandwa nyumba kwa nyumba. Fuatilia agizo la Mhe. Katambi kwa kubofya link hii 👇🏽 https://youtu.be/YWZK6g-Ro9Y
Soma zaidi »LIVE: FUATILIA UZINDUZI WA CHANELI YA UTALII ‘TANZANIA SAFARI CHANNEL’
• Waziri Mkuu ndiye Mgeni Rasmi • Itakuwa inaonekana TBC1 Fuatilia kwa kubofya link hii https://youtu.be/DzZwjhuPQiM
Soma zaidi »LIVE; RAIS MAGUFULI NA WAZIRI MKUU WA MISRI WASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA MRADI WA KUFUA UMEME WA STIEGLER’S GORGE
Serikali na Kampuni ya Arab Constructors ya Misri leo zitatia saini mkataba wa ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa Stiegler’s Gorge, utakaozalisha megawatts 2100. Kwa mujibu wa Rais Magufuli, mradi huo utagharimu zaidi ya TZS 6.5tril. Waziri Mkuu wa Misri atahudhuria hafla hiyo. Fuatilia kwa kubofya link hii; …
Soma zaidi »RAIS MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KULA KIAPO NOVEMBA 05, 2015.
LIVE:Msemaji wa Serikali Akizungumzia Miaka 3 ya JPM
InfoChanyA+ VIWANDA 3,000 VINAHUDUMIWA NA SEKTA YA MISITU
MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA MKURUGENZI MKAZI WA AfDB NA MABALOZI WAWILI LEO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) nchini Dkt. Alex Mubiru ambaye alifika ofisini kwa Makamu wa Rais kujitambulisha. Makamu wa Rais amesema kuwa AfDB imeahidi kuendelea kushirikiana na …
Soma zaidi »LIVE: Kutoka Iringa
Mkuu wa Mkoa Mhe. Ali Hapi akisikiliza kero, maswali ya wananchi na kutafutia majibu na utatuzi. Bofya link hii kufuatilia moja kwa moja. #MATAGA
Soma zaidi »LIVE: Fuatilia Matangazo ya Moja kwa Moja kuhusu Matukio ya Leo hususan Ajali ya MV Nyerere iliyotokea Alhamisi 20/09/2018
• Ni kutoka TBC1- Dira ya Mchana • Shughuli za uokoaji zikiendelea • Viongozi mbalimbali wa serikali wakihojiwa love wakati wakisimamia zoezi la uokoaji na kuratibu shughuli ya uokoaji. Tazama matangazo haya kwa kufungua link hii TUNATOA POLE SANA KWA WATANZANIA WENZETU KWA MSIBA HUU MSITO.
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+