#NaHayaNdiyoMatokeoChanyA+ #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #Kilimo
Soma zaidi »Uzalishaji wa mbegu bora umeongezeka hadi tani 44,344 mwaka 2023 kutoka tani 35,199 mwaka 2021, hatua inayoboresha tija na ubora wa mazao
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #Kilimo
Soma zaidi »Katika mwaka wa fedha wa 2023/2024, bajeti ya Wizara ya Kilimo iliongezeka hadi TZS 970.79 bilioni, ikiwa na ongezeko la asilimia 29.24 ikilinganishwa na mwaka uliopita. Ongezeko hili linaashiria juhudi za serikali kuimarisha sekta ya kilimo na kuongeza uzalishaji
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #Kilimo
Soma zaidi »Mwaka 2023, Tanzania ilipiga hatua kubwa katika uzalishaji wa chakula, ambapo uzalishaji ulifikia tani milioni 20.4, ikilinganishwa na tani milioni 17.1 mwaka 2022. Hii inawakilisha ongezeko la takriban tani milioni 3.3, linalotokana na juhudi za serikali na Wizara ya Kilimo kuimarisha kilimo kama nguzo ya uchumi na usalama wa chakula nchini
Uwekezaji katika Umwagiliaji: Kupitia miradi ya umwagiliaji na ongezeko la bajeti, maeneo mengi ya kilimo yamewezeshwa kupata maji ya kutosha kwa ajili ya mazao, jambo lililosaidia kuongeza uzalishaji, hasa katika mikoa yenye ukame Uzalishaji wa Mbegu Bora: Serikali imeongeza uzalishaji wa mbegu bora kutoka tani 35,199 mwaka 2021 hadi tani …
Soma zaidi »Katika mwaka wa fedha wa 2023/2024, Wizara ya Kilimo nchini Tanzania ilipokea ongezeko la bajeti hadi kufikia TZS 970.79 bilioni. Hii inawakilisha ongezeko la asilimia 29.24 ikilinganishwa na mwaka uliopita, ambapo bajeti ya wizara ilikuwa takribani TZS 751.12 bilioni
Ongezeko hili la bajeti linaashiria azma ya serikali ya kuimarisha sekta ya kilimo kwa kutumia zaidi kwenye miradi ya maendeleo kama vile miundombinu ya umwagiliaji, utafiti wa kilimo, na upatikanaji wa masoko. Aidha, sehemu kubwa ya fedha hizi (TZS 767.84 bilioni) imetengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo, ambayo inahusisha …
Soma zaidi »Umuhimu wa Mkutano wa Rais Samia na Maafisa Ugani Katika Kuimarisha Sekta ya Kilimo Nchini Tanzania
Mkutano kati ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, na maafisa ugani pamoja na wanaushirika uliofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma, tarehe 10 Agosti, 2024, unaleta umuhimu mkubwa katika kuendeleza sekta ya kilimo nchini. Hii ni kwa sababu kadhaa zinazohusiana na ushirikiano, uboreshaji wa huduma, na …
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasha moja ya trekta la kisasa mara baada ya hafla ya makabidhiano ya zana za kilimo kwenye kilele cha Siku Kuu ya Wakulima katika viwanja vya Maonesho hayo, Nzuguni Jijini Dodoma tarehe 08 Agosti, 2024.
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO AIPONGEZA NEMC, AITAKA KUONGEZA USHIRIKIANO NA WIZARA YA KILIMO
Uzinduzi wa Bwawa la Umwagiliaji Mtibwa, Rais Samia Aimarisha Sekta ya Kilimo na Uzalishaji wa Sukari Nchini
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Bwawa la umwagiliaji lenye mita za ujazo milioni 25 na Awamu ya tatu ya upanuzi wa mashamba na umwagiliaji katika Kiwanda cha Sukari Mtibwa, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi katika Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, tarehe 03 Agosti, 2024. Uzinduzi …
Soma zaidi »RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.
Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo na Miundombinu kwa kufanya upanuzi wa Hospital za wilaya za Sumbawanga Bilioni 13.7, Ujenzi wa vituo vya Afya 21 na zahanati 30 kwa gharama ya bilioni 9.4, Elimu ya ngazi chini shule mpya za msingi …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+