Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 17 Agosti, 2019 amekabidhiwa Uenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) katika Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC ulioanza leo katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere …
Soma zaidi »RAIS WA ZAMBIA EDGAR LUNGU AONGOZA KIKAO CHA SIASA,ULINZI NA USALAMA CHA SADC TROIKA JIJINI DAR
RAIS WA AFRIKA KUSINI CYRIL RAMAPHOSA ATEMBELEA MAKABURI YA WAPIGANIA UHURU WA ANC MAZIMBU – MOROGORO
LIVE CATCH UP: DHIFA YA KITAIFA ILIYOANDALIWA NA RAIS MAGUFULI KWA AJILI YA RAIS WA AFRIKA KUSINI CYRIL RAMAPHOSA
RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS WA AFRIKA KUSINI RAMAPHOSA WASHIRIKI MKUTANO WA WAFANYABIASHA WA TANZANIA NA AFRIKA KUSINI JIJINI DAR ES SALAAM
RAIS MAGUFULI: TUTAZIDI KUFUNGUA MILANGO YA BIASHARA NA UWEKEZAJI NA AFRIKA KUSINI
Rais Dkt. John Magufuli amesema Tanzania itazidi kufungua milango ya ushirikiano na Jamhuri ya Afrika Kusini na kuwataka Wafanyabiashara na Wawekezaji wa nchi hizo kutumia fursa za vivutio mbalimbali vilivyopo ili kukuza uchumi kwa manufaa ya wananchi wa Mataifa hayo. Akizungumza leo Alhamisi (Agosti 15, 2019) Ikulu Jijini Dar es …
Soma zaidi »RAIS MSTAAFU MKAPA AONGOZA MHADHARA WA SADC CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
LIVE: ZIARA YA RAIS WA AFRIKA KUSINI CYRIL RAMAPHOSA
MABALOZI WATEMBELEA MRADI WA KUFUA UMEME WA JULIUS NYERERE, RUFUJI
DKT. ABBASI: NCHI 16 ZIMETHIBITISHA KUSHIRIKI MKUTANO MKUU SADC TANZANIA 2019
Nchi 16 za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) zimethibitisha kushiri Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya hiyo utakaofanyika Jijini Dar es Salaam, Tanzania Agost 17 na 18 mwaka huu. Akizungumza katika Kipindi cha 360 cha Clouds Tv, Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+