Taarifa Vyombo vya Habari

Kilimo ni Msingi wa Uchumi na Ustawi wa Tanzania.

Kilimo kinachangia zaidi ya asilimia 25% ya pato la taifa la Tanzania. Sekta hii inatoa ajira kwa zaidi ya asilimia 65% ya wananchi wa Tanzania, ikijumuisha wakulima wadogo na wakubwa, na watu wanaojihusisha na shughuli za kilimo. Tanzania ni moja ya nchi zinazozalisha mazao mbalimbali kama vile mahindi, mpunga, maharage, …

Soma zaidi »

SEKTA YA KILIMO TANZANIA: NGUZO YA MAENDELEO NA USTAWI WA JAMII

Nchini Tanzania, Sekta ya Kilimo ni msingi wa maendeleo ya uchumi na ustawi wa jamii. Sekta hii ina mchango mkubwa katika pato la Taifa, biashara ya nje, na utoaji wa fursa za ajira kwa wananchi. Mchango wa Sekta ya Kilimo Sekta ya kilimo ni nguzo muhimu ya uchumi wa Tanzania, …

Soma zaidi »

Tumepiga hatua kubwa katika sekta za afya, maji, nishati, elimu, kilimo, uwekezaji, miundombinu, michezo, diplomasia yenye tija kwa taifa letu, uchumi kwa ujumla na maeneo mengine mengi. Katika yote tumebaki kuwa wamoja na wenye amani na utulivu.

Soma zaidi »