MKOA WA DAR ES SALAAM

KATIBU MKUU MWAKALINGA AKAGUA KAZI YA UCHIMBUAJI TOPE DARAJA LA JANGWANI

Muonekano wa Daraja la Jangwani jijini Dar es Salaam ambalo kazi ya uchimbuaji tope ili kudhibiti mafuriko pindi mvua za masika zitakapoanza baadaye mwezi ujao. Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga akisisitiza jambo kwa Meneja Mradi wa Usafishaji Daraja la Jangwani, Eng. Elisony …

Soma zaidi »

MAKAMU WA RAIS SAMIA AKAGUWA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAJI MKOA DAR ES SALAAM

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akitoa maagizo kuhusu kuchukuliwa hatua kwa mtu anaetiririsha Maji ya Choo katika Mradi wa Kingo za Mto Ng’ombe Wilaya ya Kinondoni alipokuwa katika ziara ya kutembelea na kukagua Utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Maji  na Mazingira Mkoa wa …

Soma zaidi »

MAKAMU WA RAIS SAMIA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE NA WASICHANA KATIKA SAYANSI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia Taifa kwenye Maadhimisho ya kilele cha Siku ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi Duniani yaliyofanyika leo Febuari 11,2021 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu …

Soma zaidi »

MRADI WA NYUMBA ZA MAGOMENI KOTA UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 90 – DC CHONGOLO

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo amesema ubunifu wa kuweka huduma za kijamii walioonesha Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) katika nyumba za makazi Magomeni (Magomeni Kota,) umeiongezea thamani wakala hiyo na kwa kiasi kikubwa wakazi wa eneo hilo hawatapata changamoto za huduma za kijamii ikiwemo maji pamoja na maduka …

Soma zaidi »

RC KUNENGE AWATAKA MANISPAA KINONDONI NA JKT KUKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA DALADALA MWENGE

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge ameitaka Manispaa ya Kinondoni na mkandarasi kutoka JKT kuhakikisha Ujenzi wa kituo Cha daladala Mwenge na Maduka 126 vinakamilika kabla ya February 28 na kuanza kutumika Machi 01 ili kiweze kutoa huduma kwa wananchi Kama ilivyokusudiwa. RC Kunenge ametoa agizo …

Soma zaidi »

DC CHONGOLO: JENGO LA MAMA NA MTOTO HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA YA MWANANYAMALA KUANZA KAZI BAADA YA WIKI

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo ameupongeza uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mwananyamala kwa kusimamia vizuri ujenzi wa Jengo jipya la kisasa la Mama na Mtoto litakalo anza kutoa huduma hivi karibuni. Akizungumza wakati alipofanya ziara ya kukagua jengo hilo Mhe. Chongolo amesema kuwa jengo …

Soma zaidi »

KITUO KIKUU KIPYA CHA MABASI YAENDAYO MIKOANI NA NCHI JIRANI CHA MBEZI LUIS JIJINI DAR ES SALAAM KIMEFANYIWA MAJARIBIO

Baadhi ya mabasi ya abiria yakiwa yamepaki katika kituo kipya cha mabasi cha Mbezi Luis jijini Dar Es Salaam ambapo kituo hicho kimefanyiwa majaribio Baadhi ya mabasi ya abiria yakiwa yamepaki katika kituo kipya cha mabasi cha Mbezi Luis jijini Dar Es Salaam ambapo kituo hicho kimefanyiwa majaribio Baadhi ya …

Soma zaidi »

RC KUNENGE AWAHAKIKISHIA WANANCHI WA KIFURU, CHANIKA NA GONGOLAMBOTO KUANZA KUPATA MAJI SAFI IFIKAPO DISEMBA 31 BAADA YA UJENZI WA TANK LA LITA MILIONI MBILI KUKAMILIKA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amewahakikishia wakazi wa Kifuru na Chanika kuanza kupata huduma Bora za Maji safi ifikapo Disemba 31 ikiwa ni utekelezaji wa agizo na ahadi aliyotoa Rais Dkt. John Magufuli kwa Wananchi wakati wa mkutano wa kampeni Jijini humo.RC Kunenge akiambatana na …

Soma zaidi »