MAZINGIRA

WAZIRI JAFO ATAKA MACHINJIO YA KISASA YA KIZOTA KUREKEBISHA CHANGAMOTO ZAO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo ameupa uongozi wa machinjio ya kisasa ya Kizota jijini Dodoma miezi sita kurekebisha changamoto ya utiririshaji wa majitaka ovyo. Jafo ametoa agizo hilo leo Aprili 8, 2021 alipofanya ziara ya kikazi katika machinjo hiyo kwa ajili …

Soma zaidi »

NAIBU WAZIRI WAITARA AWAAGIZA WENYE VIWANDA WOTE NCHINI KUAJIRI WATAALAMU WA MAZINGIRA

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mwita Waitara akiangalia mfereji wa majitaka yanayotiririka kutoka kiwanda cha Keds Tanzania Company Ltd kilichopo mjini Kibaha mkoani Pwani wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua shughuli za mazingira. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) …

Soma zaidi »

NITAUNDA TIMU YA WATAALAMU KUTOKA TAASISI NNE KUCHUNGUZA ATHARI ZA VUMBI DON-BOSCO – UMMY MWALIMU

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu amesema ataunda timu ya wataalamu kutoka Taasisi nne kuchunguza athari za vumbi linalodaiwa kuathiri wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Don-Bosco katika Jiji la Tanga. Kauli hiyo ameitoa hii mara baada ya kufanya ziara ya kikazi …

Soma zaidi »

WAITARA AWATAKA NEMC KUFANYA UTAFITI NA KUDHIBITI KUONGEZEKA KWA KINA CHA MAJI YA MAZIWA MKOANI SINGIDA

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mwita Waitara (katikati) akiwa katika kikao na maafisa mazingira (hawapo pichani) kutoka Wilaya na Manispaa ya Singida kwa lengo la kuwapa maelekezo mbalimbali. Wengine kuanzia kushoto ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida Mhe. Elia Digha, Mkuu wa …

Soma zaidi »

SERIKALI IMETOA MIEZI MITATU KWA WENYE SHEHENA YA VIFUNGASHIO VISIVYOKIDHI VIWANGO VIONDOLEWA SOKONI

Serikali imetoa miezi mitatu kwa wenye shehena ya vifungashio visivyokidhi viwango vya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) vinaondolewa sokoni. Agizo hilo limetolewa leo Januari 8, 2020 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Ummy Mwalimu wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa …

Soma zaidi »

WACHIMBAJI WADOGO WATAKIWA KUWA NA SEHEMU YA PAMOJA YA KUCHENJUA DHAHABU ILI KUDHIBITI KUSAMBAA KWA MABAKI YA ZEBAKI

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mwita Waitara amewataka wachimbaji wadogo kuwa na sehemu ya pamoja na kuchenjua dhahabu ili kudhibiti kusambaa kwa mabaki ya zebaki. Waitara alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wachimbaji wadogo kwenye mgodi mdogo wa Blue Leaf …

Soma zaidi »