#NiulizeNikuiibu_DCEA #DCEA
Soma zaidi »Je Unaifahamu Cocaine?
#NiulizeNikuiibu_DCEA #DCEA
Soma zaidi »USHINDI VITA DHIDI YA KILIMO CHA MIRUNGI TANZANIA
Mafunzo hayo yaliyohudhuriwa na washiriki zaidi ya 80 ikiwemo kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Same, Madiwani, watumishi wa Halmashauri, Watendaji ngazi ya Kata, Vijiji na Vitongoji ambapo mgeni rasmi katika mafunzo hayo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe. Kasilda Mgeni.
Soma zaidi »Suluhu ya Kukabiliana na Kilimo cha Mirungi yapatikana Wilayani Same ikiongozwa na Mamlaka (DCEA)
DCEA yataja njia sahihi za kukabiliana na adhari zitokanazo na dawa za kulevya_ PCCB na Sekretariati ya MAADILI ya viongozi wa umma yasisitiza uwajibikaji kwa Watendaji na viongozi ngazi ya Wilaya hadi Vitongoji wa umma Halmashauri Same yaainisha mazao mbadala katika kukabiliana na kilimo cha Mirungi Mamlaka ya Kudhibiti na …
Soma zaidi »Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata watuhumiwa saba kwa ajili ya mahojiano huku pikipiki mbili zikikamatwa katika vijiji vya Ntomoko, Kinyasi na Haubi
#DCEA_Mpya #DCEA
Soma zaidi »Kuanzia Mei 14 hadi 19, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imefanikisha uteketezaji wa ekari 157 zamashamba ya bangi yaliyokuwa katika vijiji vya Ntomoko, Kinyasi na Haubi
Ni yapi madhara ya utumiaji mirungi kwa wanaonyonyesha?
#NiulizeNikujibu_DCEA #DCEA_Mpya #DCEA
Soma zaidi »