Dhamira ya Mhe Rais Dkt. Samia ni kuwaleta Watanzania wote pamoja, bila kujali tofauti zao, ili kwa pamoja waweze kushiriki katika safari ya kujenga Tanzania ya kesho yenye mafanikio na ustawi kwa wote

Ni mwito wa kuwa na upendo kwa nchi, kuipa kipaumbele Tanzania na kuhakikisha kwamba kila hatua inayochukuliwa inasaidia katika kujenga taifa bora kwa vizazi vijavyo. #MSLAC #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *