Maendeleo ya Afya Mkoani Katavi, Hatua Kubwa Zinaendelea.

Mkoa wa Katavi unaendelea kushuhudia maendeleo makubwa katika sekta ya afya, yakilenga kuboresha huduma kwa wakazi wake. Serikali imeweka juhudi kubwa katika kuimarisha miundombinu ya afya na kuboresha upatikanaji wa huduma bora.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *