Kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassani, katika siku yako hii ya kuzaliwa, tunakupongeza kwa kuleta nuru, hekima, na mabadiliko katika uongozi wa nchi yetu. Siku ya kuzaliwa kwako ni ishara ya mwanzo mpya na fursa za kuendeleza maadili na maendeleo kwa Watanzania wote. #MSLAC

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *