Katika muktadha wa katiba ya Tanzania, haki za wananchi kutoa maoni yao na kushiriki kikamilifu katika shughuli za kisiasa zinatambuliwa. Hata hivyo, katika muktadha huo, kuna mipaka na wajibu wa kudumisha amani na utulivu. #MSLAC

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *