Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt, Hussein Mwinyi akikagua Gwaride Maalum la Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Mkoa wa Mjini Magharibi leo

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *