Maktaba ya Kila Siku: January 19, 2026

MWAMBASHA YAANGAZA SHINYANGA: SHULE YA SEKONDARI YA AMALI YAKAMILIKA NA KUFUNGUA MILANGO YA MAFANIKIO KWA VIJANA

Kukamilika kwa Shule ya Sekondari ya Amali ya Mwambasha iliyopo Mkoa wa Shinyanga DC ni hatua kubwa ya maendeleo inayotoa matumaini mapya kwa vijana wa kila rika na kuleta ustawi kwa jamii nzima. Mafanikio haya yana mchango mkubwa katika nyanja mbalimbali za kijamii na kiuchumi kama ifuatavyo: Kwanza, shule hii inatoa elimu …

Soma zaidi »