Maktaba ya Kila Siku: January 10, 2026

TANI 9 ZA DAWA ZA KULEVYA ZAKAMATWA NCHINI MWEZI DISEMBA 2025

*Raia wa Kenya akamatwa akitumia biashara ya chai kuficha uuzaji wa dawa za kulevya. *Basi la King Masai lanaswa likisafirisha skanka. *Mirungi iliyofungwa kama majani ya mwarobaini yakamatwa. *Watumishi wa serikali wanaswa wakihusishwa na usafirishaji wa dawa za kulevya. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini imetekeleza …

Soma zaidi »