Maktaba ya Mwezi: July 2024

TANZANIA YASHIRIKI MAANDALIZI YA MKUTANO WA KUJADILI MAENDELEO ENDELEVU

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban (wakwanza kulia), akifuatilia majadiliano mbalimbali wakati wa Kikao cha Kwanza cha Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Ugharamiaji kwa Maendeleo Endelevu (Fouth International Conference on Financing for Deveoplopment – FfD4, kinachoendelea kufanyika hadi 26 Julai 2024 …

Soma zaidi »

Falsafa hizi nne (4R) zinalenga kuimarisha umoja, kuleta ustawi na maendeleo ya kudumu kwa taifa, na kuhakikisha kuwa serikali inawajibika kwa wananchi wake

#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi

Soma zaidi »

WITO WA RAIS SAMIA KWA MACHIFU, KUIGA UONGOZI WA CHIFU HANGAYA KWA MAENDELEO YA JAMII

Rais Samia anaonyesha imani na matumaini yake kwa machifu, akiamini kwamba wana uwezo wa kuongoza vyema maeneo yao.  Hii inaashiria heshima na kuthamini mchango wa machifu katika jamii. Rais anamtaja Chifu Hangaya kama kielelezo cha uongozi bora. Hii inaonyesha kwamba Chifu Hangaya ana sifa na mafanikio ambayo machifu wengine wanapaswa …

Soma zaidi »

UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA UTALII

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeunga mkono agenda za Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) kuhusu uwekezaji wa kimkakati katika rasilimali watu kwenye elimu na ujuzi pamoja na agenda ya usalama wa maeneo ya utalii lengo likiwa ni kuibadilisha Afrika kwa siku zijazo kupitia ujuzi wa elimu na …

Soma zaidi »