UJENZI WA DARAJA LA TANZANITE WAFIKIA ASILIMIA 70.6 JIJINI DAR ES SALAAM

Ujenzi wa Daraja la Tanzanite (km 1.03) ambalo linapita katika Bahari ya Hindi kuunganisha eneo la Agha Khan pamoja na Coco Beach umefikia asilimia 70.6 na linatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.
Excavator ikishushwa chini ya sakafu ya bahari kwa ajili ya kazi ya kuchimba katika muendelezo wa kazi za ujenzi wa Daraja la Tanzanite (km 1.03) ambalo linapita baharini kuunganisha eneo la Agha Khan pamoja na Coco Beach
Ujenzi wa Daraja la Tanzanite (km 1.03) ambalo linapita baharini kuunganisha eneo la Agha Khan pamoja na Coco Beach ukiendelea kwa kasi. Daraja la Tanzanite lina urefu wa km 1.03, upana mita 20.5 pamoja na barabara unganishi zake zenye urefu wa zaidi ya km 5.2, litakuwa na njia 4 za magari pamoja na njia 2 za watembea kwa miguu.
Ujenzi wa Daraja la Tanzanite (km 1.03) ambalo linapita baharini kuunganisha eneo la Agha Khan pamoja na Coco Beach ukiendelea kwa kasi. Daraja la Tanzanite lina urefu wa km 1.03, upana mita 20.5 pamoja na barabara unganishi zake zenye urefu wa zaidi ya km 5.2, litakuwa na njia 4 za magari pamoja na njia 2 za watembea kwa miguu. PICHA NA IKULU

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *