MRADI WA MAJI WA SOMANGA MKOANI LINDI UNATARAJIWA KUKAMILIKA BAADA YA SIKU 50

Mradi wa Maji wa Somanga katika Wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi unatarajiwa kukamilika baada ya siku 50 tayari kuhudumia vijiji vya Somanga Kaskazini na Kusini kwa wananchi zaidi ya 8,000 kwa gharama ya Sh. mil 400 chini ya utekelezaji wa wataalam wa ndani kupitia mpango wa PfR.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *