MAUZO YA KOROSHO YA TANZANIA YAMEONGEZEKA KUTOKA TANI 27 MWAKA 2017 HADI KUFIKIA TANI 1007 MWAKA 2020 NCHINI CHINA

China imeahidi kununua zaidi bidhaa za kilimo na Uvuvi kutoka Tanzania ahadi hiyo imetolewa leo jijini Beijing katika Mkutano wa Balozi Kairuki na Rais wa Taasisi ya China Chamber of Import and Export of Foodstuff Ndugu CAO Derong

Mauzo ya bidhaa za baharini kutoka Tanzania Bara na Zanzibar- Ornament Spinal Robster na Green Crab yamefikia Tani 140 mwaka 2020
Mauzo ya korosho kutoka Tanzania yameongezeka kutoka Tani 27 mwaka 2017 hadi kufikia Tani 1007 katika mwaka 2020
Mauzo ya Ufuta kutoka Tanzania katika soko la China yameongezeka kutoka Tani 29,700 mwaka 2017 hadi kufikia Tani 100,000 mwaka 2020.

Unaweza kuangalia pia

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Tanzania ina umeme wa kutosha hatua ambayo imechangiwa na kukamilika kwa Miradi mikubwa ya uzalishaji umeme ukiwemo Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) ambao pekee unazalisha Megawati 2115

Naibu Waziri Mkuu ameyasema hayo Julai 10, 2025 wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *