UONGOZI WA WILAYA YA KIBITI UMETEKELEZA MAAGIZO YA RAIS YA KUJENGA CHOO KATIKA STENDI NDANI YA SIKU SABA

Uongozi wa Wilaya ya Kibiti umetekeleza maagizo ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli ya kujenga choo katika stendi ndani ya siku saba.

Hayo yamebainika (Alhamisi, Agosti 13, 2020), mara baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kukagua ujenzi wa choo hicho, Rais Magufuli alitoa agizo la kukamilika ujenzi wa choo hicho tarehe 30 Julai akiwa njiani kutoka Mkoani Mtwara kurejea jijini Dar Es Salaam.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *