Nukuu za Rais Dkt. John Magufuli katika Kikao kilichowakutanisha viongozi Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), Wakuu wa Mikoa, Mawaziri na Makatibu Wakuu wa baadhi ya Wizara. “Na saa nyingine huwa ni vigumu ukishasifiwa maeneo mengine yote halafu ukakuta eneo unalolisimamia usisifiwe, huwa linavunja moyo. Lakini ni vyema niwaeleze ukweli na nitatoa …
Soma zaidi »Recent Posts
LIVE; RAIS MAGUFULI NA WAZIRI MKUU WA MISRI WASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA MRADI WA KUFUA UMEME WA STIEGLER’S GORGE
Serikali na Kampuni ya Arab Constructors ya Misri leo zitatia saini mkataba wa ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa Stiegler’s Gorge, utakaozalisha megawatts 2100. Kwa mujibu wa Rais Magufuli, mradi huo utagharimu zaidi ya TZS 6.5tril. Waziri Mkuu wa Misri atahudhuria hafla hiyo. Fuatilia kwa kubofya link hii; …
Soma zaidi »LIVE: Kamanda Mambosasa anazungumza na Waandishi wa Habari
RAIS DKT. MAGUFULI AGAWA VITAMBULISHO 670,000 KWA WAKUU WA MIKOA KWA AJILI YA MATUMIZI YA WAJASIRIAMALI (MACHINGA) KATIKA MIKOA YOTE YA TANZANIA BARA
RAIS DKT.MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI WA MISRI NA ETHIOPIA WANAOWAKILISHA NCHI ZAO HAPA NCHINI
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA MASUALA YA KIMATAIFA WA CANADA
LIVE; KIKAO CHA MHE. RAIS , MAWAZIRI, WAKUU WA MIKOA NA UONGOZI WA MAMLAKA YA MAPATO NCHINI.
AU
Soma zaidi »MAMA MARIA AKUTANA NA BASHIRU ALLY KATIBU MKUU WA CCM
Mjane wa Mwalimu Nyerere Mwenyekiti wa Kwanza wa CCM na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mama Maria Nyerere amekutana na kuwa na mazungumzo na Ndugu Bashiru Ally Kakurwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mama Maria ametumia mkutano huu kumpongeza Ndugu Katibu Mkuu kwa juhudi kubwa ambazo anaendelea kuzifanya …
Soma zaidi »ACHENI PROPAGANDA SOMENI MUSWADA! – MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI
• Asema Muswada wa mabadiliko ya sheria ya vyama vya Siasa nchini upo tangu mwaka 2013 • Asema wadau (vyama vya siasa) viache kulalamika kwa I jumla jumla na badala yake viusome mswada huo. • Asema sheria hiyo Mpya inakuja kulinda demokrasia na kulinda katiba ya nchi. • Adai baadhi …
Soma zaidi »DKT. MWANJELWA;MTUMISHI WA UMMA ANATAKIWA KUPIMWA KWA UTENDAJI KAZI
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) amewataka watumishi wa ofisi yake kuwa mfano wa kuigwa na taasisi nyingine kiutendaji kwa kufanya kazi kwa bidii, maarifa, uadilifu na weledi ili kujenga misingi bora ya utumishi wa umma nchini. Mhe. …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+




