Recent Posts

TANZANIA KINARA MASUALA YA MAAFA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania imekuwa nchi ya kwanza kusaini mkataba wa kuanzisha Kituo cha Huduma za Binadamu na Operesheni za Dharura cha Kanda ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). “Lengo la kuanzisha kituo hicho ni kusimamia utoaji wa huduma na misaada ya kibinadamu kwa nchi wanachama. …

Soma zaidi »

18 FEB 2023 MAKABIDHIANO YA UENYEKITI WA AU

Rais wa Comoro, Azali Assoumani, alichukua nafasi ya uenyekiti wa Umoja wa Afrika kutoka kwa Rais wa Senegal Macky Sall kama urais wa zamu wa umoja huo. “Shirika letu limethibitisha kwa ulimwengu imani yake kwamba nchi zote zina haki sawa,” amesema Rais Azali.

Soma zaidi »