WIZARA YA HABARI,UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

KUELEKEA TAMASHA LA UTAMADUNI KITAIFA MKUOANI RUVUMA Tarehe 20-23.2024

Tamasha la Utamaduni la Kitaifa mkoani Ruvuma ni tukio linalosherehekea na kuonyesha utajiri wa utamaduni wa Kitanzania, likiwaleta pamoja washiriki kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania kushindana na kuonyesha vipaji vyao katika ngoma, muziki, sanaa, na desturi za jadi. Hii ni fursa ya pekee kwa wakazi wa Ruvuma na wageni kutoka …

Soma zaidi »

WAZIRI NDUMBARO AMUONGEZEA FAINI SHILINGI MILIONI 5 BABU WA TIKTOK, ATOA WIKI MBILI ALIPE

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameongeza adhabu ya faini kutoka shilingi milioni 3 hadi milioni 5 kwa msanii Seif Kisauji maarufu (Babu wa TikTok) akimtaka msanii huyo aombe msamaha hadharani kutokana na kosa la kurusha maudhui ya sanaa yanayokiuka maadili mtandaoni. Waziri Ndumbaro ametoa uamuzi …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU AZINDUA MITAMBO YA KISASA YA KURUSHIA MATANGAZO

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 15, 2024 amekagua na kuzindua mitambo na vifaa vipya vya kurushia matangazo vya kampuni ya Azam Media Limited. Vifaa hivyo ni pamoja na Magari ya kisasa ya kurushia matangazo (OB Van), kamera za kisasa pamoja na mfumo wa kusaidia maamuzi viwanjani (VAR). Vifaa hivyo …

Soma zaidi »

Rais Samia Suluhu Hassan Akutana na Kupokea Ripoti ya Kamati Maalum kuhusu Vyombo vya Habari Tanzania, Hatua za Kukuza Uhuru na Utendaji Bora.

Hatua ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, kukutana na kupokea ripoti kutoka kwa Kamati Maalum iliyoundwa kuchunguza hali ya utendaji na uchumi katika vyombo vya habari nchini Tanzania Bara. Fafanuzi wa tukio hili ni kama ifuatavyo: Kamati Maalum na Utendaji wa Vyombo vya Habari, …

Soma zaidi »

WAZIRI NAPE AANZA ZIARA KUKAGUA MWENENDO WA OPERESHENI ANWANI ZA MAKAZI

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye leo ameanza ziara ya kukagua na kuhamasisha utekelezaji wa Operesheni ya Anwani za Makazi katika mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha Akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuanza ziara hiyo jijini Dodoma, Waziri Nape amesema tathmini inaonesha utekelezaji …

Soma zaidi »

DKT. YONAZI AMELIKUMBUSHA JESHI LA POLISI WAJIBU WA KUJIFUNZA NA KUTOA ELIMU YA USALAMA MTANDAO

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Nchini (DCI) CP Camilius Wambura akizungumza wakati wa mafunzo ya Usalama Mtandao kwa Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa, Wakuu wa Vikosi na Wakuu wa Madawati ya Upelelezi wa Jeshi la Polisi (hawapo pichani), yaliyofanyika leo tarehe 21 Machi 2022, jijini Dodoma. Katibu Mkuu …

Soma zaidi »