Sekratarieti ya Chakula, Kilimo na Malisili kutoka Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini Mwa Afrika (SADC) imesema kuwa itaendelea kufanya kazi karibu na wananchi walioko kwenye ukanda wa Jumuiya hiyo ili kuimarisha utekelezaji wa Sera ya Maendeleo ya 2015-2020 SADC hasa kwenye Sekta ya Biashara kwa …
Soma zaidi »BILIONI 4.6 KUJENGA NA KUKARABATI CHUO CHA UFUNDI KARAGWE
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa zaidi ya shilingi bilioni 4.6 kutekeleza mradi wa ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya majengo ya Chuo cha Ufundi cha Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe. Hayo yamesemwa Wilayani Karagwe na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Wiliam Ole Nasha katika …
Soma zaidi »WAJUMBE SADC WATEMBELEA VIWANDA
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA NCHINI TANZANIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania inajivunia kufanya kazi kwa karibu na Nchi ya Rwanda kutokana na ukarimu mkubwa uliojengeka kwa muda sasa kwa Wananchi wa Nchi mbili hizo. Makamu wa Rais amesema hayo leo alipokutana na Balozi wa Rwanda …
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AMEFUNGA MAONESHO YA WAKULIMA 88 MKOANI MOROGORO
MELI YA MKOMBOZI II YAWASILI ZANZIBAR
LIVE: WAZIRI MKUU KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA NANENANE
MAKAMU WA RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI KIWANDA CHA KUCHAKATA MPUNGA
DKT. ABBASI ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO WIKI YA VIWANDA-SADC
LIVE:MAJADILIANO KUHUSU UZALISHAJI KATIKA NCHI ZA SADC
https://youtu.be/m8MMnC9BwKc
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+